- Голоса:
Cheda Mtembezi - Текст песни Kimwana
Intro; (Lamer)
 Talk of the town..
 Lamer..
 Its A Fish Crub Cook out
 aaah..
 Its a Fish Crub Cook out
 AAAAAAH 
 Verse 1 (Cheda Mtembezi)
 Nahisi kama giza na hisi kama sioni
 Cheda the boss kama don kalioni
 Ni kama hadith ya penzi kama Complex na Viviani
 Nna hisi kama presh naweza nikafa darling
 Usiende mbali ingawa sio hatari
 Sogeza mwili karibu tule zabibu
 Kama mtabili tabili What my dress code
 Nayoweza kuiafod, iwe kipindi cha joto au baridi
 Wanazusha maneno wakiona tunasonga pembezoni mwa road
 Hip hop kama kawa tunakula kwenye ipod
 We ndo mke wangu wengine wanafoji
 Ndomana George Poji Ananiita mwangaikaji
 Nna doji mitikasi inabana ndomaana inashindikana 
 sometimes kuonana haina maana nipo BUSY..
 Chorus;(Beka Title)
 AAh AAAh AAAH
 Sitachoka Mpenzi kukuwaza we kimwana
 Kwenye shida na raha sitokukana
 Ndomaana kwamba mii nakuhitaji sana
 Yo mama AAAH Alove you so much... (Repeat Chorus)
 Verse 2;(Bosa Jesus)
 Ma Snitch wana talk shit wengine Bosa umezidisha pombe full gambeCheda Mtembezi - Kimwana - http://ru.motolyrics.com/cheda-mtembezi/kimwana-lyrics.html
 Ok usiwe na wasi ila nyasi tutachoma haina noma tuishi kisela
 kama Ezzy Na Rehema mwanaharakati kama Obama 
 More money Bosa sasa Don sio kama zamani
 Sitaki compleni i cant use cocaine
 Nimeshakili we ni mzuri mbona unanifanyia ukatili
 Sio siri sio dili sipati tafsiri sio vizuri 
 Nikukose mid night one love dady no kibuti
 Wanasaruti wazungu hadi mapusha Dar mpaka Arusha
 Soft kama Leather mtam kama fedha
 Kitaa nna n'gaa na machizi wa mazabe
 Full msimamo kama president Mugabe 
 Una Lips ka Latoya mrefu ka Nakaaya
 Temana na maboya kabla hatujala piza
 Tuanze na bagia skia nafanya mziki nieskepu dhiki
 Nakwenda ress ili usitoke nduki
 Mambo yakiwa poa ni full kujiachia
 Hata Lamer si anajua Wapagazi Mobb Sychogcal AAh The Phisical
 Chorus;(Beka Title)
 AAh AAAh AAAH
 Sitachoka Mpenzi kukuwaza we kimwana
 Kwenye shida na raha sitokukana
 Ndomaana kwamba mii nakuhitaji sana
 Yo mama AAAH Alove you so much... (Repeat Chorus)
 Outro:(Bosa Jesus)
 Najua unataka kujua sisi niwakina nani
 Bonge Mlope ndo ametuweka kwenye ramani
 yeah big up kwa machizi wa maskani
 Na madem wote wa Tegeta nyumbani
 Tupo na Beka B Wa B.O.B
















